FIFA-URUSI-KOMBE LA DUNIA 2018
Ufahamu uwanja wa Rostov Arena
Rostov ArenaMechi nne za hatua ya makundi na moja ya hatua ya 16 bora zitachezwa kwenye uwanja huu.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Uwanja huu umejengwa pembezoni mwa Mto Don na utatumiwa na klabu ya Rostov baada ya kukamilika kwa fainali za kombe la dunia.
Mabingwa mara tano wa kombe la Dunia, Brazil wataanza kampeni ya kuwania taji katika Uwanja huu kwa kuchuana na Uswisi, Juni 17 katika Uwanja wa Rostov Arena. Ufruguay na Saudi Arabia zitavaaana Juni 20 katika Uwanja huu, mechi nyingine ni baina ya Korea Kusini na Mexico Juni 23 na Iceland na Croatia Juni 2 6.