Pata taarifa kuu
CAF-AFRIKA-SOKA

Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kuchezwa Jumatano hii

Michezo kadhaa ya hatua ya makundi ya taji la Shirikisho Afrika inachezwa leo. Katika Kundi D Yanga ya Tanzania inaipokea Rayon Sports katika Uwanja wa Taifa mchuano ambao ni muhimu sana kwa Yanga 

Kikosi cha wachezaji wa klabu ya Yanga FC.
Kikosi cha wachezaji wa klabu ya Yanga FC. Issa Michuzi
Matangazo ya kibiashara

ikiwa inataka kusonga mbele katika hatua ya robo fainali.

Mchezo mwingine wa kundi hilo utakuwa baina ya Gor Mahia ya Kenya ambayo inaipokea USM Alger ya Algeria.

Mechi nyingine za taji la Shirikisho ni kama ifuatavyo:

Asec Mimosas itakuwa ugenini nchini Kongo kuchuana na AS Vita

Adouana Stars itachuana na Raja Casablanca

UD Songo na RS Berkane

Al Hilal na Al Masry

CARA Brazaville na Enyimba

Djoliba ya Mali itakumbana na Williumsville ya Ivory Coast

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.