Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

CAF yatangaza droo ya hatua ya makundi kuwania taji la Shirikisho

Imechapishwa:

Juma hili tunaangazia droo ya hatua ya makundi kuwania taji la Shirikisho barani Afrika baina ya vlabu , masaibu ya rais wa Shirikisho la soka nchini DRC Constatine Omari, Michuano ya CECAFA kwa vijana wasiozidi miaka 17 inayoendelea nchini Burundi, na tangazo la kocha wa muda wa mrefu wa Arsenal Mfaransa Arsene Wenger ambaye ataondoka mwisho wa msimu huu.

Droo ya hatua ya makundi kuwania taji la Shirikisho barani Afrika CAF
Droo ya hatua ya makundi kuwania taji la Shirikisho barani Afrika CAF http://www.cafonline.com/
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.