Jukwaa la Michezo
Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi yaanza Korea Kusini
Imechapishwa:
Cheza - 23:26
Michezo ya Olimpiki, majira ya baridi imeanza nchini Korea Kusini katika mji wa Pyeongchang. Wanamichezo zaidi ya 2,000 wanashiriki kutoka mataifa zaidi ya 90. Tunaangazia pia michuano ya soka kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika.