Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Mchezaji wa kwanza wa Tanzania aliyecheza soka nchini Uingereza

Imechapishwa:

Abbas Pira, ni mgeni wetu katika Makala ya Jukwaa la Michezo. Ni mtanzania wa kwanza kucheza soka nchini Uingereza. Pamoja na hilo, tunakueleza kinachoendelea kwingineko viwanjani barani Afrika.

Abbas Pira (Katikati) mchezaji wa soka nchini Tanzania akiwa na wanahabari wa RFI Kiswahili, Victor Abuso na Fredrick Nwaka
Abbas Pira (Katikati) mchezaji wa soka nchini Tanzania akiwa na wanahabari wa RFI Kiswahili, Victor Abuso na Fredrick Nwaka twitter.com/
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.