Jukwaa la Michezo
Mchezaji wa kwanza wa Tanzania aliyecheza soka nchini Uingereza
Imechapishwa:
Cheza - 23:39
Abbas Pira, ni mgeni wetu katika Makala ya Jukwaa la Michezo. Ni mtanzania wa kwanza kucheza soka nchini Uingereza. Pamoja na hilo, tunakueleza kinachoendelea kwingineko viwanjani barani Afrika.