Jukwaa la Michezo
Michuano ya soka barani Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 yaanza
Imechapishwa:
Cheza - 23:49
Michuano ya soka baina ya mataifa ya bara Afrika kwa vijana wasiozidi miaka 17, imeanza nchini Gabon. Mataifa yanayoshiriki ni wenyeji Gabon, Angola, Cameroon, Ghana, Guinea, Mali, Niger na Tanzania.Nani atakuwa bingwa ?