Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michuano ya soka barani Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 yaanza

Imechapishwa:

Michuano ya soka baina ya mataifa ya bara Afrika kwa vijana wasiozidi miaka 17, imeanza nchini Gabon. Mataifa yanayoshiriki ni wenyeji Gabon, Angola, Cameroon, Ghana, Guinea, Mali, Niger na Tanzania.Nani atakuwa bingwa ?

Timu ya taufa ya soka ya Guinea
Timu ya taufa ya soka ya Guinea cafonline
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.