Jukwaa la Michezo
Droo ya hatua ya nusu fainali kuwania taji la UEFA na EURO
Imechapishwa:
Cheza - 24:33
Shirikisho la soka barani Ulaya, limetangaza droo ya hatua ya nusu fainali kuwania taji la klabu bingwa na ligi ya Europa barani Ulaya.Tunachambua pia michuano ya Shirikisho barani Afrika na matukio mengine muhimu barani Afrika na kwingineko duniani.