Pata taarifa kuu
UGANDA-AFRIKA-SOKWE

Serikali za nchi za Afrika zakubaliana kuwalinda Sokwe

Serikali za Afrika zimehimizwa kulinda wanyama wa jamii ya sokwe kutokana na umuhimu wao kwa uchumi, utafiti wa kimatibabu ya binadamu na mazingira. Kulingana na shirika la African Primatological Society ambayo imefanya mkutano wake wa pili wa kila mwaka hapa Entebbe -Uganda, wanyama hawa wengi huuawa kila mwaka kwenye bara la Afrika kwa sababu ya kimila, kukuliwa kama nyama na kupitia uwindaji ya kulipia ya watalii.

Из-за деятельности человека на Земле уничтожено 60% видов животных
Из-за деятельности человека на Земле уничтожено 60% видов животных REUTERS/Henry Nicholls
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.