Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Dhana ya utawala bora barani Afrika na haki za binadamu

Imechapishwa:

Makala ya Jua Haki Zako juma hili inajadili kwa kina kuhusu dhana ya utawala bora barani Afrika, kwanini viongozi wengi wa Afrika wanangangania kukaa madarakani hata baada ya muhula wao? Kwanini wanashuhudia utekelezaji wa vitendo vya unyanyasaji na ukatili dhidi ya raia wao? fuatilia makala haya.

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni. REUTERS/Tiksa Negeri/File Photo
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.