Jua Haki Zako
itunes
Na
Emmanuel Richard Makundi
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia hatua ya kuzimwa kwa huduma ya mtandao {Internet} nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, je kitendo kilichofanywa na Serikali kinakiuka haki za binadamu? Ungana na mtayarishaji wa makala haya pamoja na wakili Ojwan'g Agina.
02/12/2019
Fahamu kuhusu utaratibu wa kisheria baada ya kuvunjika kwa uchumba
endelea kusoma
25/11/2019
Ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake huku vitendo hivyo badoi vikiripotiwa katika mataifa mbalimbali
endelea kusoma
18/11/2019
Haki ya mwajiri na mwajiriwa kwa kuzingatia misingi ya mikataba ya kimataifa na kikanda
endelea kusoma
12/08/2019
Ukatili wa kijinsia na wajibu wa raia na serikali kukabiliana na vitendo hivyo
endelea kusoma
10/06/2019
Umoja wa Mataifa unatekeleza kwa vitendo ulinzi wa haki za binadamu
endelea kusoma
03/06/2019
Ripoti ya shirika la save the children kuhusu hali ya watoto
endelea kusoma
27/05/2019
Uwepo wa vituo vya Mateso kwenye mataifa
endelea kusoma
20/05/2019
Ripoti ya LHRC kuhusu ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Tanzania
endelea kusoma
29/04/2019
Haki za Wanawake na Watoto Nchini Tanzania
endelea kusoma
22/04/2019
Dhana ya utawala bora barani Afrika na haki za binadamu
endelea kusoma
15/04/2019
Ripoti ya Amnesty International kuhusu utekelezwaji wa adhabu ya kifo duniani
endelea kusoma
08/04/2019
Dunia inajifunza nini kutokana na mauaji ya kimbari na kuheshimu haki za binadamu
endelea kusoma
01/04/2019
Mpango wa kufunga kambi ya Daadab: Zipi haki za wakimbizi wanaoishi kwenye kambi
endelea kusoma
25/03/2019
Sheria za makosa ya ubakaji Afrika Mashariki
endelea kusoma
18/03/2019
Haki za Watoto: Dhulma za Kingono pwani ya Kenya
endelea kusoma
11/03/2019
Haki ya Kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa Sehemu ya Pili
endelea kusoma
04/03/2019
Haki ya Kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa
endelea kusoma
24/12/2018
Tathimini ya haki za binadamu barani Afrika mwaka 2018 na matarajio ya 2019
endelea kusoma
03/12/2018
Raia wa Afrika mashariki wako huru kufanya shughuli za kiuchumi katika nchi wanachama?
endelea kusoma