Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mamlaka Mjini Kigali yakataza adhana misikitini kwa madai inasababisha kelele

Imechapishwa:

Mamlaka katika Mji wa Kigali imekataza kutumiwa kwa adhana (mwito kwa waislamu kufanya ibada) kwa sababu ya kelele. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao.

Kigali, Rwanda.
Kigali, Rwanda. Getty/Peter Stuckings
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.