Habari RFI-Ki
Mamlaka Mjini Kigali yakataza adhana misikitini kwa madai inasababisha kelele
Imechapishwa:
Cheza - 09:35
Mamlaka katika Mji wa Kigali imekataza kutumiwa kwa adhana (mwito kwa waislamu kufanya ibada) kwa sababu ya kelele. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao.