Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Kenyatta adai Mahakama nchini Kenya inashirikiana na upinzani

Imechapishwa:

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anayewania urais kwa muhula wa pili, amedai kuwa Mahakama nchini humo inashirikiana na upinzani kuchelewesha Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika tarehe 8 mwezi Agosti.Hata hivyo, mgombea wa upinzani kupitia muungano wa upinzani NASA, Raila Odinga amesema matamshi ya Kenyatta yanaonesha kuwa atakataa kutambua matokeo ya urais.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ASHRAF SHAZLY / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.