Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Rais Kenyatta adai mataifa ya kigeni yanaingilia siasa za Kenya

Imechapishwa:

Rais Uhuru Kenyatta amesema mataifa ya kigeni, yanatumia fedha kufadhili mashirika ya kiraia kwa lengo la kuingilia siasa za Uchaguzi Mkuu mwaka 2017. Je, kuna ukweli katika hili ? Victor Abuso amezungumza na Mratibu Mkuu wa Mashirika ya kiraia nchini humo Suba Churchil akiwa jijini Nairobi.

Rais Uhuru Kenyatta wakati wa maadhimisho ya 53 ya Jamhuri Desemba 12 2016
Rais Uhuru Kenyatta wakati wa maadhimisho ya 53 ya Jamhuri Desemba 12 2016 myuhurukenyatta/photos
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.