Wimbi la Siasa
Rais Kenyatta adai mataifa ya kigeni yanaingilia siasa za Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 09:56
Rais Uhuru Kenyatta amesema mataifa ya kigeni, yanatumia fedha kufadhili mashirika ya kiraia kwa lengo la kuingilia siasa za Uchaguzi Mkuu mwaka 2017. Je, kuna ukweli katika hili ? Victor Abuso amezungumza na Mratibu Mkuu wa Mashirika ya kiraia nchini humo Suba Churchil akiwa jijini Nairobi.