Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Magufuli kukabidhiwa kijiti cha uenyekiti wa CCM taifa Julai 23 1016

Imechapishwa:

Katika makala haya leo utasikia maoni ya wasikilizaji kuhusu mkutano mkuu maalumu wa Chama Cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania utakaofanyika kesho Julai 232016  kwa lengo la kumkabidhi rais John Pombe Magufuli uenyekiti wa chama kitaifa kutoka kwa mwenyekiti anayemaliza muda wake rasi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete, Karibu.

Mwenyekiti wa CCM rais mstaafuwa Tanzania Jakaya Kikwete (Katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa chama hicho
Mwenyekiti wa CCM rais mstaafuwa Tanzania Jakaya Kikwete (Katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa chama hicho
Vipindi vingine
  • 09:41
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.