Habari RFI-Ki
Magufuli kukabidhiwa kijiti cha uenyekiti wa CCM taifa Julai 23 1016
Imechapishwa:
Cheza - 09:58
Katika makala haya leo utasikia maoni ya wasikilizaji kuhusu mkutano mkuu maalumu wa Chama Cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania utakaofanyika kesho Julai 232016 kwa lengo la kumkabidhi rais John Pombe Magufuli uenyekiti wa chama kitaifa kutoka kwa mwenyekiti anayemaliza muda wake rasi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete, Karibu.