Pata taarifa kuu
CHINA-AFYA

Virusi vya SRAS vyaendelea kuenea China, kesi 140 mpya zaripotiwa

Virusi hatari vinaendelea kusambaa kwa haraka nchini China likiwemo jiji kuu la Beijing na hadi sasa maafisa nchini gumo wanasema kuwa watu zaidi ya 140 wameambukizwa.

Uvumbuzi mpya wa virusi vya SARS Singapore, 9 Mei 2003.
Uvumbuzi mpya wa virusi vya SARS Singapore, 9 Mei 2003. AFP PHOTO/ROSLAN RAHMAN
Matangazo ya kibiashara

Virusi hivyo vimeendelea kuzua hali ya wasiwasi nchini humo, baada ya mara ya kwanza kugungulika katika mji wa Wuhan.

Watafiti wanasema kuwa, vinahusishwa na homa kali inayosabisha ugumu wa kupumua, ambayo kati ya mwaka 2002-2003 ilisabaisha vifi vya watu 650.

Hadi sasa haijathibitsihwa iwapo virusi hivyo vinambukizwa kwa kugusana lakini, watalaam wanasema wanafanya utafiti zaidi.

Hata hivyo, kuna matuamini kuwa, virusi hivyo vinaweza kudhibitiwa na tayari zaiid ya watu mia mbili wameanza kupewa chanjo.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.