Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Tathmini Fupi ya Mkutano wa mabadiliko ya hali ya hewa wa Marrakesh
Imechapishwa:
Cheza - 10:12
Viongozi kutoka mataifa mabli mablikutoka ulimwenguni walikutana mjini Marrakech, Morocco katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi COP22.Makala yetu ya mazingira Leo Dunia Yako kesho kwa juma hili itathmini juu ya Mkutano huo uliomalizika mjini Marrakesh nchini Morocco