Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Fahamu juu Mkutano wa 22 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi

Imechapishwa:

Mkutano wa 22 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi umeanza huko Marrakesh, Morocco, ikiwa ni siku chache tu baada ya kuanza rasmi kutekelezwa kwa mkataba wa Paris kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Ambapo kwenye mkutano huo mada kadhaa zimejadiliwa zikiwamo usaidizi kwa Afrika katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, uhakika wa chakula na nafasi ya jinsia na vijanaMakala ya Mazingira Leo Dunia Yako kesho kwa Juma hili inagazia juu hali ya Mabadiliko ya Tabia Nchi na Athari zake

Mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi,Mjini Marakech,Morocco
Mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi,Mjini Marakech,Morocco REUTERS/Youssef Boudlal
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:57
  • 09:47
  • 10:05
  • 09:55
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.