Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Fahamu Naama ya Kenya Inavyokabiliana na Hali Mabdiliko ya Tabia Nchi
Imechapishwa:
Cheza - 10:26
Mabadiliko ya tabia nchi imekuwa miongoni mwa ajenda kuu za Umoja wa Mataifa na jumuiya ya kimataifaKwa kuona umuhimu wa suala la mabadiliko ya tabia nchi, Serikali ya Kenya Tayari imeanza kuchukuwa hatua za ufuatiliaji, kufanya tathimini na mbinu mbalimbali za kukabiliana na Athari za Mabdiliko ya tabia Nchi,Makala ya Mazingira Leo Dunia Yako kesho inagazia juu ya hatua serikali ya Kenya inachukuwa katika kukabiliana na hali ya Mabadiliko ya Tabia Nchi