Pata taarifa kuu
Siha Njema

Changamoto ya Saratani ya Ngozi Kwa Watu Wanoishi na Albinism

Imechapishwa:

Leo Nchi za Afrika Mashariki na Kati wanaungana na ulimwengu kuadhimisha siku ya kimataifa ya kueneza uwelewa ya watu wenye Ualbino.Wakati Dunia ikiwa inadhimisha siku hii,tafiti zinaonesha watu wenye wengi wao wapo hatarini ya kupata magonjwa ya saratani ya ngozi, kutokana na kutokuwa na elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi.

Wasamaria wema wakiwasaidia kula, watoto wenye Ualbino ambao sehemu ya viungo vyao imekatwa, Tanzania
Wasamaria wema wakiwasaidia kula, watoto wenye Ualbino ambao sehemu ya viungo vyao imekatwa, Tanzania Under the same Sun
Vipindi vingine
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
  • 09:59
  • 10:23
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.