Pata taarifa kuu
COTE D'IVOIRE-USALAMA

Watoto 137 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Magharibi waokolewa

Serikali ya Cote d'Ivoire imeokoa watoto 137 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Magharibi ambao wamekuwa wakifanyishwa kazi kama vubarua na wengine kujihusisha na biashara hatari ya kuuza miili yao.

Polisi ya Cote d"ivoire ikipiga doria katika hali ya kupambana na makundi ya wahalifu.
Polisi ya Cote d"ivoire ikipiga doria katika hali ya kupambana na makundi ya wahalifu. Reuters / Luc Gnago
Matangazo ya kibiashara

Hii imekuja, baada ya operesheni maalum kufanyika katika jimbo la Aboisso, karibu na nchi ya Ghana.

Watoto hao waliokolewa wanatokea nchini Nigeria, Niger,Benin, Ghana na Togo.

Watu 12 wanaoshukiwa kuhusika na biashara haramu ya kuwasafirisha watoto hao nchini humo, wamekamatwa.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.