Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mazishi ya kinara wa upinzani, DRC Etienne Tshisekedi, Tanzania yapiga marufuku mifuko ya plastiki, ripoti ya Muller Urusi iliingilia uchaguzi wa Marekani
Imechapishwa:
Cheza - 20:44
Katika makala hii tumeangazia mazishi ya aliyekuwa kinara wa upinzani nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Etienne Tshisekedi, upigaji marufuku wa mifuko ya plastiki nchini Tanzania, kuapishwa kwa rais wa Malawi Peter Mutharika, pia rais wa Nigeria Muhammadou Buhari, na katika uga wa kimataifa kurudiwa kwa uchaguzi wa Israeli baada ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa