Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Rais Paul Biya achaguliwa tena kuongoza Cameroon kwa muhula wa saba

Imechapishwa:

Rais wa Cameroon Paul Biya, ametangazwa mshindi kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa saba, kuendeleza uongozi wake wa miaka 36. Upinzani umekataa kutambua ushindi huu. Ushindi huu una maana gani kwa demokrasia ya Cameroon na bara la Afrika ? Tunajadili.

Rais wa Cameroon Paul Biya
Rais wa Cameroon Paul Biya REUTERS/Carlo Allegri -/File Photo
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.