Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais Joseph Kabila wa DRC asema hatowania urais, Tanzania na Kenya zaadhimisha miaka 20 ya shambulio la kigaidi
Imechapishwa:
Cheza - 21:04
Katika makala hii tumeangazia hatua ya rais wa DRC Joseph Kabila kutangazawaziri wa zamani wa mambo ya ndani,Emmanuel Ramazani Shadary, kupeperusha bendera ya chama tawala cha PPRD katika uchaguzi wa urais wa desemba 23, pia Tanzania na Kenya juma hili ziliadhimisha miaka ishirini ya mashambulizi ya balozi za Marekani jijini Daresalaam na Nairobi, wakati uchaguzi wa Zimbabwe wampa ushindi Emmerson Mnangagwa, na kimataifa hatua ya rais wa Marekani Donald Trump kuiwekea vikwazo Iran.Kusikiliza zaidi tembelea tovuti yetu kwa anuani ya :