Pata taarifa kuu
UN-USALAMA

Umoja wa Mataifa waadhimisha siku ya kimataifa ya walinda amani

Umoja wa Mataifa hivi leo unatimiza miaka 70, tangu ulipoanza kutuma wanajeshi wake wa kulinda amani kusaidia kurejesha amani katika mataifa mbalimbali ya dunia.

Butembo, Kivu Kaskazini, DR Congo. Mnamo tarehe 22 Februari 2018, askari wa MONUSCO waliwatimua mara moja wapiganaji 1000 wa kundi la waasi la Mai Mai 100 katika kijiji cha Vuhovi, mashariki mwa Butembo.
Butembo, Kivu Kaskazini, DR Congo. Mnamo tarehe 22 Februari 2018, askari wa MONUSCO waliwatimua mara moja wapiganaji 1000 wa kundi la waasi la Mai Mai 100 katika kijiji cha Vuhovi, mashariki mwa Butembo. ©MONUSCO
Matangazo ya kibiashara

Ni siku ya kuwakumbuka wanajeshi wa kulinda amani 3,700 ambao tangu mwaka 1948, huku walinda amani 129 wakipoteza maisha mwaka uliopita.

Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inasalia nchi yenye idadi kubwa ya wanajeshi wa kulinda amani zaidi ya elfu 15, 000 kusaidia kulinda amani hasa Mashariki mwa nchi hiyo.

Umoja wa Mataifa ulianzishwa Oktoba 24, 1945 huko San Francisco nchini Marekani.

Siku hiyo mataifa 50 yalitia saini makubaliano ya kuanzisha chombo hicho kilichokuwa na lengo na kulinda Amani na usalama, kuendeleza ushirikiano baina ya mataifa kwa lengo la kujikwamua kiuchumi na kijamii na kulinda haki za binadamu.

kikosi cha askari wa Umoja wa mataifa nchini DRC MONUSCO) katika shughuli zao za kila siku.
kikosi cha askari wa Umoja wa mataifa nchini DRC MONUSCO) katika shughuli zao za kila siku. CC/MONUSCO/Clara Padovan

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.