Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Maandamano ya kanisa katoliki na wanasiasa wa DRC, upinzani wa Burundi wapinga michango ya Uchaguzi
Imechapishwa:
Cheza - 21:12
Katika makala hii tumeangazia kuhusu mgawanyiko ulioshuhudiwa kati ya wanasiasa wa rassemblement wa upande wa waziri mkuu Bruno Tshibala nchini DRC kuhusu maandamano ya jumapili ya january 21, nchini Burundi wapinzani wapinga michango ya wananchi kuhusu uchaguzi nchini humo, Rwanda na Tanzania,zakubaliana kuhusu ujenzi wa reli kati ya mataifa hayo mawili, wakati kimataifa tumeangazia ziara ya rais wa Ufaransa nchini Uingereza, lakini pia siasa za Syria.