Mjadala wa Wiki
DRC yachaguliwa katika Tume ya Umoja wa Mataifa ya kutetea haki za Binadamu
Imechapishwa:
Cheza - 10:52
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imechaguliwa kuwa mwanachama wa Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu. Hatua hii imeifurahisha serikali ya Kinshasa lakini kuyakera mashirika ya kiraia na Marekani ambayo yanasema, kumeendelea kushuhudia ukosefu wa haki za binadamu katika jimbo la Kasai.