Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Kiongozi wa Upinzani nchini Zambia aachiwa huru

Imechapishwa:

Leo katika makala haya utasikia maoni ya wasikilizaji kuhusu kuachiwa huru kwa kiongozi wa Upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema na kufutiwa mashataka yote ya uhaini yaliyokuwa yakimkabili.

Hakainde Hichilema , kiongozi wa Upinzani nchini Zambia
Hakainde Hichilema , kiongozi wa Upinzani nchini Zambia REUTERS/Rogan Ward
Vipindi vingine
  • 09:52
  • 09:41
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.