Wananchi wa Msumbiji wanapiga kura o kumchagua rais mpya, lakini ia kuwachagua wabunge katika Uchaguzi Mkuu kote nchini.Wagombea urais ni pamoja na Filipe Nyusi wa chama tawala, cha FRELIMO, Alfonso Dhlakama mwaasi wa zamani wa RENAMO na Daviz Simango wa chama cha MDM.Tume ya Uchaguzi imeahidi kuwa Uchaguzi huo utakuwa huru na haki.Kuzungumzia Uchaguzi huu ni Abdulkarim Atiki mchambuzi wa siasa za Kimataifa akiwa jijini Dar es salaam nchini Tanzania, na Francis Wambete Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Makerere jijini Kampala nchini Uganda.
Vipindi vingine
-
Joto la kisiasa kuelekea uchaguzi nchini Kenya 2022
Makala haya mJadala wa wiki tunajadili siasa za Kenya kuelekea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa rais wa hapo mwakani.15/09/202110:10 -
Mapinduzi nchini Guinea na hali ya kisiasa kwa watawala barani Afrika
Kwenye Mjadala wa wiki, tunaangazia hali ya kisiasa nchini Guinea na nini sababu za kutokea mapinduzi ya serikali barani Afrika. Swala ni kwa nini imejengeka dhana kwamba kiongozi anayeng'ang'ania madaraka mwisho wake siku zote ni mapinduzi ya kijeshi, nini kifanyike ili ifike mahali demokrasia na watawala waheshimu katiba za nchi zao?Mjadala wa wiki na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka10/09/202110:30 -
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amtaka naibu wake ajiuzulu
Kwenye Mjadala wa wiki, tunaangazia hali ya kisiasa nchini Kenya. Wiki hii, rais Uhuru Kenyatta amemwambia naibu wake William Ruto ajiuzulu iwapo anaona hafurahishwi na ajenda ya serikali ambayo yeye ni mdau mkubwa.25/08/202113:41 -
Siku 100 za Waziri Mkuu wa DRC Sama Lukonde
Tunajadili siku 100 za serikali ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Sama Lukonde.12/08/202109:55 -
Siasa za vyama nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu
Kenya inajiandaa kuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Vyama vya siasa vimeanza maandalizi kujiweka tayari kwa uchaguzi huo. Lakini je, vyama hivi vimejiandaa vya kutosha ? Tunajadili.15/07/202110:11